Tuesday, May 03, 2005

PANDE ZA DUNIA

Jua linachomoza kila alfajiri toka upande wa mashariki
Jua linazama alasiri upande wa magharibi
Antaktika iko ncha ya kaskazini ya dunia
Kuna baridi kali sana katika ncha ya kusini ya dunia

1 Comments:

At September 23, 2008, Blogger CoolPhilo Janne said...

Habali zenu?
Naomba munieleze
Pande zote za dunia katika kiswahili

 

Post a Comment

<< Home